logo
#

Monthly Archives: March 2012

Fili Kara celebration

What a great day for Tanzanian journalism! Fili Karashani’s crowning as the first recipient of the Lifetime Achievement Award on Friday night cannot be anything but a vindication of an abiding commitment to a profession, an unwavering quest for excellence in what one does. Fili truly represents that journo who has stayed
the course and remained attached to his profession, never wandering off to so called greener pastures, never wanting to do anything else. Verily, on this night, professionalism has been rewarded, and I would like to raise a cheer to applaud Fili and his legacy. May the younger scribes learn from Fili and his exemplary professional life.
JU


ADDIS ABABA

Ningependa sana watawala wetu wafike Addis Ababa wakiwa na macho yaliyofunguka tayari kwa kuona na kujifunza. Kwa siku takriban sita nimekuwa, kwa mara nyingine, nikivinjari jiji hili na kujionea maajabu wanayoyafanya wananchi wa Ethiopia na serikali yao, hususan katika ujenzi wa barabara, nyumba za kuishi na majengo ya ofisi. Ni maajabu matupu kwa mtu aliyeujua mji huu kihistoria.

Mara ya kwanza kwangu kuliona jiji hili ilikuwa ni Januari 1970. Nilikuwa mwanafunzi wa UDSM, mwaka wa kwanza, na nikapata fursa ya kuwakilisha jumuiya ya wanafunzi katika mkutano wa “UN Decade of Africa’s Development” uliohusisha jumuiya za kiraia na vyama visivyokuwa vya kiserikali. Nilipata nafasi ya kuutembelea mji huu na kujionea jinsi ulivyokuwa mchafu na usdiopenedeza sana. Tangu wakati huo nimekuwa nikirejea Addis mara kwa mara katika kipindi chote cha miaka 40 ‘ushei’. (more…)


The Mali coup

The coup in Mali just goes to show that we are not out of the woods yet. Despite al the efforts to make Africans respect a minimum of democratic governance we still have elements who have not heard the calls and are still living in a world of their own. Great thing, though,that the condemnation of the coup has been instantaneous and universal, making it clear that the new junta in Bamako is a pariah before the international community, devoid of any llegitimacy.


#